bahati – mapenzi lyrics
wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana, mapezi yana tesa zaidi ya money×2
yalimtesanga kakangu zamani, nyumbani kawa kisirani.washirika wakatoka kanisani,, yalimtesa kakangu zamani wameyaiba kwa burudani, mwenyewe ayaonyesha msalabani
oooh oh ooh ohh mapezi mbona utatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nilifunzwa na babu alivyo mtunza nyanyaa.nikasoma kwa baba naye anavyompenda mamaa×2
na adamu akampenda hawa sababu akala lile tunda.hapo ndipo dhambi kazaliwa,, unak-mbukaa weee na adamu akampenda hawa haraku ndo maana tunalia.kwa mapenzi inafanya tunacheka,, unanipataa.
oooh oh ooh oh mapenzi kwanini unatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nkaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata w-ngu., mtoto wa mama.mbona unatesa mapenzi.mbona unatesa kwai nini,, mbona unatesa mapenzi
kazini, nyumbani, kanisa inasema
ooh ooh ooh oh mapenzi kwa nini unatea tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
Random Lyrics
- el trono de mexico – la chinche de chagas lyrics
- 어노인팅 – 새 힘 얻으리 lyrics
- uroyan feat. armakahn – si tu quieres lyrics
- alabama – american farmer lyrics
- darcel – the magic inside you lyrics
- jowell & randy – liga no dán lyrics
- grey aura – kruiseiland lyrics
- yung bruh aka lil tracy – souljahwitch’s faith lyrics
- filipek – a co jeżeli? lyrics
- omid hajili – aghaghiya lyrics