azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

diamond platnumz – nitakukumbuka lyrics

Loading...

verse 1
ooooh
ah
ale tate tate
ah
kinachoniuma ni mazoea
kunifanya nikeshe usiku na mchana
ah
au mate au mate
ah
mbele na nyuma nikingojea
huenda ikabadili mfupa kuwa nyama
ooh siri yangu siri
bado natunza iwe yangu
siri yangu
j-po kuwa natamani kusema
wachache
bado naisubiri
mola hajanipa zamu yangu
aah
huenda utanik-mbuka siku unifuate
ah
moyo kama nguo ukausasangua
kwa moshoga zako
ukaacha funguo
kwa kujishebetua ukaenda zako
moyo kama nguo ukausasangua
kwa moshoga zako
ukaacha funguo
kwa kujishebetua ukaenda zako

chorus
aah
rudi mama eeh
nakuk-mbuka
nakuk-mbuka eeh
nakuk-mbuka
mwenzako silali eeh
(x4)

verse 2
ah
niacheni mie
kinachoniuma ni mazoea
mie
siwezi kuficha nimekuzoea
mie
kinachoniuma ni mazoea
mie
siwezi kuficha nimekuzoea
hali yangu si shwari
mda wowote huenda naja (huenda naja)
fanya uje na daktari
tena ikibidi waganga (waganga)
na matafuta hodari
kutoka binga na tanga
wale nguli machachali
wapiga ndele kwa vanga
ooh ooh
hizi furaha za duniaa
mamaaa
ziko tangu vile iliaa
mamaaa
njoo nakusubiriaa
mamaaa
ona hata nakuimbiaa
mwenzako silali

chorus
aah
rudi mama eeh
nakuk-mbuka
nakuk-mbuka eeh
nakuk-mbuka
mwenzako silali eeh
(x4)
(x2)



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...