oliva wema – bwana ni mchungaji wangu lyrics
bwana ni mchungaji w-ngu
sitapungikiwa kitu
hunlaza penye majani mabichi
huniongoza kwa maji matulivu
hunihuisha nafsi yangu
huniongoza kwa njia za haki
nipitapo bondeni mwa mauti
sitaogopa wewe unami
hakika wema nazo fadhili
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu.
hakika wema nazo fadhili
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu
gongo lako na fimbo yako
vinanifariji mimi
waandaa meza mbele yangu
machoni pa watesi w-ngu
hakika wema nazo fadhili
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu
hakika wema nazo fadhili
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu
hakika wema nazo fadhili
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu
Random Lyrics
- goose house – fly high, so high lyrics
- jeswin samuel – christmas song (yesu pirandhaarae) lyrics
- gökhan türkmen feat. gt band – vay halimize lyrics
- vybz kartel – stop follow me up lyrics
- sterling – in my zone lyrics
- alta consigna – mientras tu lo calles lyrics
- pedro fernandez – el mejor lyrics
- pedro fernandez – la bala lyrics
- somos héroes – estrella lyrics
- d_cider – don’t forget lyrics