azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

34 gvng – acha nimumunyako njugu lyrics

Loading...

acha nimumunyako njugu kwanza nichape
leta hio makali bila glasi tukate
wengine zimeshika wanapigana mamate
mathwiti na makeki buda mbona usitake
mzinga tukate

makeki wamepull up kama thirty
ni party after party ata stima tu wakate
za toto zimenyc ananishika mashati
mgodo mgodo shtukia mkono kwenye panty

kuna joto na nimewekwa katikati
watoto w+n+lia wananipenda kwa dhati
wananisahau siku nilikuwa searching
narusha vibes buda naekwa pause

kuru’s partying
mabluetick kila time niko chatting
aha love like it’s nothing
funny how we came up, dollar dollar money
now we blowing up always haters still yapping
started down low now we done the sh+t to something
mzinga nichape
let’s make a toast for the n+ggas that made it happen

acha nimumunyako njugu kwanza nichape
leta hio makali bila glasi tukate
wengine zimeshika wanapigana mamate
mathwiti na makeki buda mbona usitake
mzinga tukate

aki anko nimeoneko, kanjugu nipeeko nionjeko
si we ni mtuku, pole joo hii ni ya jaba inaisha
na sai ni saa sita na mashop zishatingwa
b bingwa jina kubwa kama big show
na slay muhudumu ongeza glass glass
very fast wasanii walishapass first class
a plus

ni mswak wanadiscuss kama tuko in touch ama tulizimwa
si tuko wima ju mic tulishikaga sana
cheki blisters, keep distance hii zone ni ya fikra
ju huwa zimeshika kama swat na sufuri
turi kazi ni kujipa mashughuli, uiii

acha nimumunyako njugu kwanza nichape
leta hio makali bila glasi tukate
wengine zimeshika wanapigana mamate
mathwiti na makeki buda mbona usitake
mzinga tukate

nimeland na kibeng, huwezi risk hii mbogi ni risky
no frisking si mbogi ya mafisi
ka unapenda zile tam hii ni blunder
bado tukicheza magizani siwezi tamper
luku fine kujaza tu ka bumper
nanga nazo zinacheza tu tukisamba
umenibamba mi nadai namba
kunimada na luku zako fina

hii ni major si maina kageni au maina
uliza hadi minor
hii ni major si maina kageni au maina
uliza hadi minor

yes bana, hizo challenge mi hutanipata nikifanya
kila siku mboka si kutrace hao madranya
kwela wako loose jo hunadhani nina spanner
kwela wako loose kama jegi za kibanja
acha nimumunyeko ndo nikuje kwa kiwanja
acha makelele nitakuseti kwa kiranja
hakuna za macandle labda ni kuseti ganja
umeiva kweli ama umejipaka wanja

usiniletee hio haga ka si size ya mneti
id is a must ndio nijue uko 20
kuja ka umeoga ndio nikupe chuma length thick
ukipita mtihani nakushikia puma fenty
na game yako chini utafanya nikuchape
sichezi ligi ndogo mi nacheza kigi mbape

acha nimumunyako njugu kwanza nichape
leta hio makali bila glasi tukate
wengine zimeshika wanapigana mamate
mathwiti na makeki buda mbona usitake
mzinga tukate



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...