azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

ali kiba - bailando lyrics

Loading...

[intro]
yo!
african princess

[verse 1: alikiba]
naugua
naugua
kukupenda naugua
nakupa yako maua
kunipenda, umejua

[verse 2: nandy]
naugua
naugua
kukupenda naugua
nakupa yako maua
kunipenda, umejua

[verse 3: alikiba]
roho yangu [suru?]
kwa mwingine sitamani
mi umenijaa moyoni
nakupenda, hayawani

[verse 4: nandy]
mi pembeni sitazami
umenizidi mzani
hoi, oh, bin taabani
na sijutii asilani
[pre+chorus: alikiba & nandy]
wewe umeniathiri
tabia umenibadili
mwenyewe si unaona?
ah, ah, ah
tumelandana mwili
utambi na [kandiri]
mwenyewe si unaona?, ah
naona

[chorus: nandy & alikiba]
bailando (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
bailando, oh (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
mi amor, oh, oh, mi amor
bai…
bailando

[verse 5: alikiba]
haste, haste na kipira, baby
moyo unadunda kwa gredi
ai, mwenzako na dead
ufundi ka tuko gereji

[verse 6: nandy]
ah, si utaniua, baby?
moyo unadunda kwa gredi
haya unayonipa mapenzi
umeniweza
[bridge: alikiba & nandy]
mwenzako mimi
(nani wewe)
moyo w+ngu
(moyo wako)
nia yangu
(nia yako)
mpaka mwisho
(mpaka kifo)

[pre+chorus: alikiba & nandy]
wewe umeniathiri
tabia umenibadili
mwenyewe si unaona?
ah, ah, ah
tumelandana mwili
utambi na [kandiri]
mwenyewe si unaona?, ah
naona

[chorus: nandy & alikiba]
bailando (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
bailando, oh (baila, baila)
mi amor (baila, baila)
mi amor, oh, oh, mi amor
bai…
bailando



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...