ali kiba - karim lyrics
[verse 1]
nilimkuta akinung’unika
dunia imemtupa
kwa mola na malaika
labda amekasirika
[chorus]
yakarimaa
ya maulanaa aah
yalatifuaah
ewe molaa
[verse 2]
alfajiri aliamka
na kwenda kutafuta
hakuna alichoshika
mdomoni kuweka aah
[chorus]
yakarim aah
yamaulana aah
yalatifu ahh
ewe mola ahh
[verse 3]
na sasa ni saa 7 ya usiku na dakika
anasoma dua ya kulala asije dhurika
kwa walimwengu wa sasa na vibaka
alale salama ili kesho apate amka
pembezoni mwa barabara karim alilala eeh
moyo wake ukijua riziki amekosa eeh
na mapenzi kwa mola wake yako pale+pale
[chorus]
yakarim eeh
yamaulana aah ahah
yalatifu aah
ewee mola oohohho
[verse 4]
alipita mama mmoja ni mfanyabiashara
pembezoni kidogo mwa karim
alikuwa amebeba sufuria kichwani
akajikwaa kidogo akaangusha chini
karim akishtuka toka usingizini
akakuta chakula kimemwagwa chini
alifurahi sana milele, milele
alishukuru mola milele
alimuomba mola milele, milele
mola wa karim, wa latifu
mola wa mola uliye juu uuh
unayetupa vyote unayetuwezesha sisi
viumbe wa dunia na ahera kwa ujumla
[chorus]
ya karimu
ya latifu wewee eeh
ewe mola muumba wa dunia
ulimwengu mzima aah
ooh ah eeh
ewe mola aah
Random Lyrics
- ceptionnn - besoin de vivre lyrics
- belly gang kushington - friend do remix lyrics
- kittens (band) - jack knife lyrics
- merchandyce - my eyes lyrics
- los alacranes mojados - linda chicana lyrics
- nick prosper - thank god im me (tgim) lyrics
- mayor breslin (obscurest vinyl) - jingle bulb bash introduction lyrics
- vialice - pished lyrics
- the tech thieves - light our fire lyrics
- onokami - стесняюсь (shy) lyrics