ali kiba - nahodha lyrics
[intro]
yo!
yeah, baba
ma feeling make it
[verse 1]
najiona wa ajabu, eh
nikijitazama
hivi naota, ah
ama nachanganyikiwa?
joto nalo la shuka digiri
waliniliza tbt
na moyo w+ngu nishakupa na’
[chorus]
na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post+chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
[bridge]
(ah!)
[verse 2]
kama mapenzi ni jihad
tuko peponi
kwa jinsi tulivyo pambana na hali, ‘yetu rohoni
kuna vijibe vya nafsi ya wale waroho, oh, waroho
wanaosubiri tuachane hata kesho
sisi bado
[pre+chorus]
sisi bado
oh, oh, oh
oh, sisi bado
kuachana sisi bado
sisi bado, woah, woah, oh, wah
sisi bado, woah
[chorus]
kwani na wewe ndio nahodha
wa meli yangu
uhitaji cv, woah, oh
hata ukinge yai laini
tuwe salama, ah
atuepushe na mabaya ya wengine, yeah
[post+chorus]
maana, najiona
nachanganyikiwa ‘oh, nyikiwa
ndama, nanona
na nyonyeshwa maziwa, ‘oh, maziwa
oh, ah
the mix k!ller
Random Lyrics
- ms. claire - superstar lyrics
- robyn l - clarity lyrics
- x-raided & luni coleone - on my own lyrics
- lil maxs - addicted lyrics
- milian & candyboii - floarea ce nu crește lyrics
- do7 - m1s3ry lyrics
- jonjen - woven together lyrics
- the beautiful losers - hallelujah lyrics
- mayo (singer) - se irán lyrics
- kiyoshi maekawa - lucky lips lyrics