amoni & malumbu kigoma - usifurahi juu yangu lyrics
(usifurahi juu yangu, eeh adui yangu
niangukapo mimi, nitasimama tena
k-mbuka niwapo gizani, bwana ni nuru yangu
hawezi kuniacha bwana, mimi niangamie)×2
si vyema kunisema vibaya, nipatapo tatizo
shetani wampa nafasi
ndani ya moyo wako
k-mbuka kwa maombi yako nitasimama tena
na utapata baraka kutoka kwake mungu
si vyema kunisemasema vibaya, nipatapo tatizo mama
shetani wampa nafasi ndani ya moyo wako
k-mbuka kwa maombi yako nitasimama tena
na utapata baraka ndani ya moyo wako
maana heri mtu yule ambaye kinywa chake
huwabariki wenzake n kuwaombea
maana maneno mabaya huchafua moyo
hukuweka mbali na mungu, ni vyema uwe safi
ukiona niko kwenye shida niombee
ndoa yangu imevunjika wewe niombee
nikif-kuzwa kazini ndugu niombee
magonjwa yananiandama niombee
biashara haina faida niombee
nikikawia kupata mtoto niombee
nimekuwa mtoto yatima niombee
hata nij-po kuwa mjane niombee
(ujue kwa maombi yako, mimi nitasimama tena
ujue kwa maombi yako nitabarikiwa)×4
Random Lyrics
- gli autogol feat. dj matrix & papu gomez - baila como el papu lyrics
- tonytoxik - m.c.c lyrics
- geeks - #한밤의꿈 #여름 #류수현 (#midnight #summer #ryusoohyun) lyrics
- 187 strassenbande - millionär lyrics
- t-rock - mask off lyrics
- famous preme - jumper lyrics
- 360 - dem gainz lyrics
- silhouette - hellsing lyrics
- revanchistas - de raíz lyrics
- half past the revolution - madhouse lyrics