azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

b.g.m.s – kwendanamida lyrics

Loading...

friday, june 22, 2018
12:45 am

intro: kwenda kwenda

chorus:

kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
(kwenda n mida)
kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
(kwenda na mida)
-siku hizi bongo mpaka raha
tuna kwenda na miiida
kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
kwenda na miiiida- ×2

first verse; herishaa

kwanza ndo na settle sina time like hey go
uwaki waki toto am all about that pay role
washasanda kimzik wanafos mashabiki
wanatafuta izo kiki zaidi ya hati miliki boi

usiache usiache wape with the sound (ya ya)
wanafos kiki kwetu underground (ya ya )
wacha niwape ukwel kivipi mlete kejeli
me and my chali we in for the money zilizonyooka ka reli

yuko wapi yule dogo harmo rapper man
alishafosi na wabongo wakamkacha man
vipi kuhusu kiduku music na chakacha man
washasanda sasa trap habari ya mjini we

hit em up nawachapa kama maka
veli pac legendary kwenye status
put em up ndo na kaa kama better man tough zaid ya better man am never relevant
gat me so foreign so foreign foreign
kwa mwendo usio na folen mpole mpole ryt

second chorus

kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
(kwenda n mida)
kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
(kwenda na mida)
-siku hizi bongo mpaka raha
tuna kwenda na miiida
kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
kwenda na miiiida- ×2

verse 2: styles101

siku hizi raha kwenda na mida
tafta pesa ukaishi guda
baby mama teka jezi mama kuhama uswazi
ntaomba wanipe muda
starliffa ni kihama ndo nakuja
nyie mabuja ndo mnavuja
mlishachuja nyie wakuja
kama mndhambi ombeni toba
siku hizi kiki hazina soko
kwenu local mnazuga

b-tches wanakula ujana kutafta pesa
baada ya muda zikisha choka walete mimba
style nakula ujana nikiwa napetaaaa
nikija kufa ntak-mbukwa kwa mizinga

kitambo ka mizengo nlishapinda
mlishaniwinda kwa waganga mkanishndwa
vitani kama rambo kueni humble
siku izi skendo hazilipi bongo zishachunda

muda wa kukaaa na kushesha
muda wa kukaa na kuteta boy sinaga ghaa
hamnisaidii kwenye kusota kwenye kuchoka
ntaangaika adi kutoka broo

niga wit the biggest dream
rizk naipa subira
muda unagoma kusubiri

nawaza future yangu kuishi better home mama kanibless kua tajir
kua na akili si kua na ubavu na mwili
ujana maji ya moto uzee finally
boy minaish way na fell
tupige story ka ukiwa na deal
coz i gat to pay some bills
staki kua na fame money is all i need all i need deuces

last chorus

kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
(kwenda n mida)
kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
(kwenda na mida)
-siku hizi bongo mpaka raha
tuna kwenda na miiida
kwenda kwenda kwenda kwenda kwenda
kwenda na miiiida- ×2



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...