azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

barakah the prince - unanigasi lyrics

Loading...

[intro]
aya
ih+ih, yeah, yeah, yeah, mmm, mm

[verse 1]
[?] vimechoka, futa machozi yangu
hata tissue pia, mmm+mm+mh
mi nimebaki mifupa, hauna mvuto mwili w+ngu, we unafurahia, ‘maumivu, kunitia unyonge
nikiona wanakuchezea, nami nnaye kupenda, nina konda
oh, [?] zamani, [?] moyo gw+nge
nami ninataka fungu langu, eh

[pre+chorus]
unaughasi, ghasi moyo w+ngu (unaughasi, ghasi)
unayaghasi, ghasi macho pia (hey)
na unanighasi, ghasi, akili yangu (unaipa kazi)
unayaghasi, ghasi macho pia (nakupenda we)

[chorus]
nambie, nambie (nawe)
mi nabaki mifupa huku wewe unanenepa, nione huruma mimi (nijue)
nipe nafasi yangu (nambie nawe)
tena na nyanyasika na sina nnacho pata nihurumie
nambie (ooh, baby oh)
nambie nawe
ila nabaki mifupa huku wewe unanenepa, nione huruma mimi
nambie
nipe nafasi yangu (nambie nijuе)
ona na nyanyasika na sina nnacho pata nihurumie
[instrumental break]

[verse 2]
najua mi mdhaifu, haijifichi kwako
basi isiwe ni chanzo cha mateso yako
tеna mwenzio siwezi na unajua hilo
ni sababu ya kupenda, tutaamua
sina ambacho nna kihitaji kingine zaidi ya kuwa wako
tena mi si mtakaji wa kingine, isipokuwa pendo lako
usini [?] waki (mm+mm)
basi, usinidhihaki, kwanini sasa

[post+chorus]
unaughasi, ghasi moyo w+ngu (unaughasi, ghasi)
unayaghasi, ghasi macho pia (hey)
na unanighasi, ghasi, akili yangu (unaipa kazi)
unayaghasi, ghasi macho pia (nakupenda we)
nambie, nambie (nawe)
mi nabaki mifupa huku wewe unanenepa, nione huruma mimi (nijue)
nipe nafasi yangu (nambie nawe)
tena na nyanyasika na sina nnacho pata nihurumie
nambie (ooh, baby oh)
nambie nawe
ona nabaki mifupa huku wewe unanenepa, nione huruma mimi
nambie
nipe nafasi yangu (nambie nijue)
ona na nyanyasika na sina nnacho pata nihurumie
mmm+mmm
[instrumental outro]
abidaddy



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...