
ben pol - twaendana lyrics
aah aah ah
uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha tuishi wote daima
uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha nakushaka nanee eeh
eeh nanee eeeh eeh
aah siku nyingi nimetafuta, nikaimba nikikupata
niliamini siku moja, nitakutana nawe
nami namshukuru mola kwa kunipa binti mmoja
mwaminifu mwenye sifa, si mwingine niwe
nami namshukuru mola kwa kuniletea mke mzuri mwenye sifa
nimezunguka kote hakuna kama we
uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha tuishi wote daima
uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha nakushaka nanee eeh
eeh nanee eeeh eeh
walimwengu kazi yao kuvuruga ya wenzao
watataka kututenganisha usiwajali
we ndo wa maisha
leo namshukuru mola kwa kunipa binti mmoja (mmoja)
mwaminifu tena mwenye sifa simwingine niwe
leo namshukuru mola kwa kuniletea mke mzuri
mwenye sifa nimezunguka kote hakuna kama wewe
uuh baby nifuraha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha tuishi wote daima
uuh baby ni furaha mi nawe twaendana
uuh baby nifuraha nakushaka nanee eeh
eeh nanee eeeh eeh (nane eh)
ee eh nanee eeeh eeh
(a ah aah, a ah aah), aah ah ah
(oh oh ooh) uuh yeh yeh yeh yeh
mmh uuh baby, baby
nakushaka nane eeh
Random Lyrics
- circa waves - the only one who lets me in lyrics
- ricky hil - did you know lyrics
- babytron - osama lyrics
- the guadaloops - hasta amanecer lyrics
- unextraordinary gentlemen - the end again lyrics
- owen st - lilac lyrics
- voyce memos - west girl lyrics
- boxcar bedroom - chase your dreams (la da da) lyrics
- flo7k - fckn 18 lyrics
- el patron 970 - vecinos cotillas lyrics