
blessed paul - mwamba lyrics
mbegu zilizotupwa zimemea
waliziona, uchafu kwa sinia aah
walidhanani hazifai kwa chakula
wakazitupa aah, kwa takataka!
jiwe walilolikataa aah
limetuwaa
mwamba imara
niko ndani yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w+ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
walinitupa kwa moto wakadhani mimi kwisha
hawakujua ninaye mungu moto ulao
na walinitupaaa kwenye maji mengi
nikatembea juu yake kama vile petro
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w+ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
nimefunikwa na mbawa zake yesu.. nakunilinda, kama mboni la jicho yake
niko ndani ya mwamba
mwamba w+ngu ni yesu
sitingishiki milele
ameniweka imara
Random Lyrics
- estopa - fumando petardos lyrics
- lil cvctus - de por vida lyrics
- nebojiša vojvodić - plaćam sve lyrics
- richard pearson thomas - spring rain lyrics
- yvmxd - каждый день (every day) lyrics
- sqwizee - сигнал (signal) lyrics
- lord gasp - penance lyrics
- megalith levitation - eternal trip / the 4-th plateau lyrics
- pöbel mc - motivierter schlendrian lyrics
- reeze cash - real life :update lyrics