blessed paul - rafiki mwema lyrics
nimebaki peke yangu
naumia ooh no
nilodhani rafiki zangu
wameniacha solo
majirani udhaifu w+ngu
waufanyia promo
niufiche wapi uso w+ngu
ila kwako baba
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k+mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k+mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
rafiki ni wewe, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
rafiki ni wewe, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
nitainua macho yangu
nitazame milimani
msaada w+ngu watoka wapi
ila kwako baba
nitatandaza mipango yangu
na niombe kwa imani
wokovu w+ngu watoka wapi
hakika nikwako baba
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k+mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
wa ndani rafiki, meninywesha siki
wakati wa dhiki, mekuwa kisiki
limdhani wa dhati, k+mbe ni judas
kwa shilingi thirty, amenisaliti
rafiki ni wewe, rafiki ni wewе, yesu, rafiki mwema
rafiki ni wewе, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
oooh oooh oooh oooh oooh rafiki mwema
rafiki ni wewe, rafiki ni wewe, yesu, rafiki mwema
Random Lyrics
- ocean wisdom - mama mia lyrics
- modal zork - plorko_cage lyrics
- nawi (esp) - ya es tarde lyrics
- esdeekid - ferragamo lyrics
- gillian welch & david rawlings - the day the mississippi died lyrics
- eden rain - wake up, you're stuck lyrics
- kahu$h - slow kisses lyrics
- private penguin music - ip lyrics
- lostgem - true romance lyrics
- matchola - lombra lyrics