azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

buki tz – jana lyrics

Loading...

nimefunzwa na ngariba
nguzo ya mapenzi tabasamu
njoo nikupe kauli za huba
za pwani mimi mzaramu
nimeumbiwa mahaba
kucheat cheat haramu
kwenye mali mahamuma
ila mapenzi imamu
kama unanipenda
ninunulie zeze aaah
nikilala kitandani aah
zeze lanibembeleza
kama unanipenda
simama tucheze aah
wendo w+ngu wahubani aaah
pendo limenilegeza aaaanha
jana nililala nikakuota nikakuwaza
kwa yako mapenzi mpenzi utaniumiza
jana nililala nikakuota
nikakuwaza
kwa yako mapenzi
mpenzi utaniumiza
i love you nyang’anyang’a x2
bora nitoke machozi
nikiwa kando yako
kuliko nienjoy mimi
mbali nawe
bora hata ukonde mwili
nikiwa kando yako
kuliko ninawiri mimi
mbali nawe
uuuuuuh uuh
raja ko rani se pyaar ho g+ya(राजा को रानी से प्रेम हो गया)
uuuuuuh uuuh
mseme musiseme nimezamia
aaaah aaah
lalalilalilalah siwеzi ongea
haya kw+ngu ni mapya
kanipania
kama unanipenda aaah ninunulie zеze aanha
nikilala kitandani
zeze lanibembeleza
kama unanipenda
simama tucheze
we ndo wahubani
pendo limenilegeza
jana nililala
nikakuota nikakuwaza
kwa yako mapenzi
mpenzi utaniumiza uuuuuh
jana nililala
nikakuota nikakuwaza
kwa yako mapenzi
mpenzi utaniumiza
i love you
nyang’anyang’a x2



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...