
chidycare - ndoto lyrics
[intro]
usiku imengia na upweke unanizonga
nak+mbuka siku za furaha
tulipokua pamoja
sasa kila kitu ni kivuli umenitoka
na moyo w+ngu unaumia kila nikiwaza
[chorus]
yote yalikua ndoto
mapenzi yetu ya zamani
uliniacha na maumivu
na sasa naishi kwa k+mbuk+mbu
kila siku napolia
nakuk+mbuka wewe
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
is chidycare
[verse]
picha zako kwenye ukuta
zinanik+mbusha siku zako zamani
tulipokua na furaha
na upendo usiokuwa na mwisho
lakini sasa ni maumivu
moyo w+ngu unavuja
uliniacha na uzuni
na maisha bila muangaza
[chorus]
yote yalikua ndoto
mapenzi yetu ya zamani
uliniacha na maumivu
na sasa naishi kwa k+mbuk+mbu
kila siku napolia
nakuk+mbuka wewe
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
[verse]
kwanini uliondoka
kwanini uliniacha
ninajaribu kusahau
lakini maumivu hayapungui
nakutafuta kwenye ndoto
lakini haupo
na moyo w+ngu unaumia kila nikiwaza
chorus]
mapenzi yetu ya zamani
uliniacha na maumivu
na sasa naishi kwa k+mbuk+mbu
kila siku napolia
nakuk+mbuka wewe
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
[bridge]
yote yalikua ndoto
kwa sasa umenitoka
lakini moyo w+ngu
bado unakupenda
kwa siku zote za maisha yangu
nitakuk+mbuka
[outro]
yote yalikua ndoto
na sasa siwezi kusahau
Random Lyrics
- unknown eminence - waiting for a soul lyrics
- victor beats - look at me lyrics
- universal form - bubble boy lyrics
- untsakad - metsik hulkur lyrics
- no deadline - plus moi lyrics
- neeutro - benz lyrics
- pr. andré costa - vaso de honra lyrics
- abrupt decay - hypothermia lyrics
- faz friends, glamrock freddy & sun - west side lyrics
- unicorn hole - all is one, and one is a cheesburger basket lyrics