![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
cirhuza daniel dollars - kwa salama lyrics
kwa salama baba mungu
awalinda watu wake
hata nyota za mbinguni
si salama kama wao
hata nyota za mbinguni
si salama kama wao
mungu awalinda hivyo
katika upendo wake
wanak+mbatiwa naye
wanarehemiwa sana
wanak+mbatiwa naye
wanarehemiwa sana
hawavutwi toka kwake
kwa furaha wala shida
yeye ni rafiki mkubwa
kwa walio watu wake
yeye ni rafiki mkubwa
kwa walio watu wake
w+n+lishwa wanavikwa
wanafarijiwa naye
hata nywele
hata nywele za kichwani
zimehesabiwa
zimehesabiwa zote
hata nywele
hata nywele za kichwani
zimehesabiwa
zimehesabiwa zote
enyi kundi lake ndogo
mungu atawakingiza
na adui
na adui watashindwa
kwa uwezo
kwa uwezo wake mkubwa
na adui
na adui watashindwa
kwa uwezo
kwa uwezo wake mkubwa
akitoa, akiwapa
baba yetu hageuki
na mapenzi
na mapenzi yake ndiyo
wana wapatishwe wema
na mapenzi
na mapenzi yake ndiyo
wana wapatishwe wema
awa tetea wanyonge, mungu baba ni yeye
ni baba wa yatima tena mfariji wa wajane
milele na milele mungu ni baba
aee! milele mungu ni baba
milele na milele mungu ni baba
aee! milele mungu ni baba
apasua njia pasipo na njia
aee! milele mungu ni baba
aee!
chezea yesu! chezea yesu wee!
mikono! minkono!
Random Lyrics
- senhit - follow me lyrics
- pinhead gunpowder - scum of the earth lyrics
- aynav - intro / стили lyrics
- oj da juiceman - still cookin' lyrics
- tim hawkins - smells like birthday cake lyrics
- la zaga - que en paz descanse (dedicado a moisés) lyrics
- tkb264 - petit beurre lyrics
- adriana calcanhotto - tô bem lyrics
- shellfish sponge (spongebob) - wasting your time lyrics
- matt redman - god the son lyrics