darassa - my life lyrics
i’m in a good feeling
give me a call everybody
i’m on my way
ninafanyaga vitendo maneno siongei
let them say si tunatafuta pay
taratibu ndo mwendo na muda hatuchezei
hatuchezei kazi ni kazi don’t play
kutoka kwa ukungu hadi kutakata
kushukuru kwa mungu ukila baraka
salamu kwa mandugu hakuna matata
kula bata kula kuku na kile unataka
kwani nisiwe happy? wamekufa w+ngapi?
na nani atabaki i don’t see
juu chini katikati nimetokea wapi
n0body can stop me you know me
me i never go back naenda mbele kwa mbele
i live my life till the end
na hakuna atayebaki hapa milele
i live my life till the end
i go hussle i go hard
i gon get my money
hata nikikosa sijali
kufika hapa nimepitia mengi njiani
nilipotoka ni mbali
me i never go back naenda mbele kwa mbele
i live my life till the end
na hakuna atabaki hapa milele
i live my life till the end
haters wanahate my life
baba god anabless my life
somebody wanna take my life
kaa mbali wewe this is my life
ukinitaka kunipenda au unichukie
ukitaka tupa taka au uf+gie
ukitaka kunibeep au unipigie
au uzibe masikio hata usinisikie
kujua wanavyoanza kipindi
n+z+changa kuziba njia w+nga
kushuka kupanda kuwaza kuwanda
i’m a survivor wazee husemanga
maisha ndo haya haya
kwani nisiwe happy? wamekufa w+ngapi?
na nani atabaki i don’t see
juu chini katikati nimetokea wapi
n0body can stop me you know me
me i never go back naenda mbele kwa mbele
i live my life till the end
na hakuna atayebaki hapa milele
i live my life till the end
i go hussle i go hard
i gon get my money
hata nikikosa sijali
kufika hapa nimepitia mengi njiani
nilipotoka ni mbali
me i never go back naenda mbele kwa mbele
i live my life till the end
na hakuna atabaki hapa milele
i live my life till the end
nilifundishwa kazi sikukuwa kimwinyi
sikuwa mwoga songa kwa mini
nitaimba na wa kuimba na mimi
nimlaumu mungu kaninyima nini?
i go hussle i go hard
and i go get my money
hata nikikosa sijali
kufika hapa nimepitia mengi njiani
nilipotoka ni mbali
Random Lyrics
- alix page - how could i lyrics
- lil poppa - mind over matter lyrics
- luke morin - {drink me} lyrics
- goodron - копрофил (coprofil) lyrics
- kerry melo & frappi - meat lyrics
- wayv (威神v) - phantom (imlay remix) lyrics
- uncle outrage - mayor of success lyrics
- woosah - friends interlude lyrics
- inael - 1, 2, 3, jesus christ! lyrics
- rodkil - keputusan bersama. lyrics