
datty tz - naogopa lyrics
naogopa
(verse 1 datty tz)
mhhh yeiyeee
walionipa maumivu ya mapenzi,sio wa kwanza baba
hawakujali kabisa mateso kuniliza ahaa
nikawa usingizi nakosa kabisa usiku silali
mapenzi ya dhati yakanitesa,furaha ya mapenzi shubiri
(verse 2 amour jj)
usiniweke kwenye maumivu yako,ukanichanganya mama
mimi najali sana mapendo yako,nimeshazama mamaaa
usidhani na mii,ukanifananishe na waleee
minakaupenda moyoni baby,naomba unielewe
pendo lako la thamani kw+ngu
nalitunza kama mboni ya jicho langu
mimi mwenzako nakupenda sana
j+po na wivu kwako mimi pungu
oohhhhh oohh baby uuhhh laalala
(chorus datty tz & amour jj)
minaogopa sana minaogopa baba
minaogopa sana mapenzi hayana dhamana
usiogope mama minakupenda sana
maumivu yale ya nyuma
mapendo yapo kwa mtima
(verse 3 amour jj)
mhhh mhhhhhh
ey kwanza nitatunza siri zako
j+pokuwa huniamini toka moyoni
mhh kwako bado nipo chini yako
niko radhi nitangaze hadharani
(verse 4 datty tz)
unanipa maeneno mazuri,ila wengi mnafanana
kwa kivipi minitakuamini kweli unanipenda sana
nimeshakuweka kwenye maumivu yangu
nimeshalizwa sana
wengi walitesa hisia zangu
walinichanganya sana
(verse 5 amour jj)
na usidhani na mii,ukanifananishe na waleee
minakaupenda moyoni baby,naomba unielewe
pendo lako la thamani kw+ngu
nalitunza kama mboni ya jicho langu
mimi mwenzako nakupenda sana
j+po na wivu kwako mimi pungu
oohhhhh oohh baby uuhhh laalala
(chorus datty tz & amour jj)
minaogopa sana minaogopa baba
minaogopa sana mapenzi hayana dhamana
usiogope mama minakupenda sana
maumivu yale ya nyuma
mapendo yapo kwa mtima
.
Random Lyrics
- zhang yanqi - hypnotized lyrics
- bossa nova club - verão em copenhague lyrics
- grubvs - ten czas minął lyrics
- satan - earth we bequeath lyrics
- kim dunn - good times lyrics
- produce pandas (熊貓堂) - 口香糖 (bubble gum) lyrics
- tennis shoes - for a reason lyrics
- aquasocks (rap) - marsha ambrosius lyrics
- hollyflame - брошу курить (quit smoking) lyrics
- lauren martinez - bellyflop lyrics