
dela - hello (adele swahili cover) lyrics
[dela]
h-llo
ni mimi, baada ya miaka na mikaka
je twaweza kukutana, turejelee yote?
wanasema muda unaponya
mbona bado ninaumwa?
h-llo?
waniskia?
niko pwani nikiota juu ya vile tulikuwa
kama vijana tulipokuwa huru
nimesahau ilivyohisi kabla dunia ianguke
tofauti baina yetu ni maili milioni
(chorus)
helo toka kwa mataa
(kwa mataa, kwa mataa)
mara elfu kakupigia
(pigia, pigia)
kuomba msamaha
kwa niliyotenda
lakini mteja hapatikani
helo toka kwa mataa
hauwezi sema sijajaribu
(jaribu, jaribu)
basi nisamehe kwa kuvunja moyo
lakini ni kama
haikujalishi kamwe
helo, waambaje?
ni kawaida yangu kujizungumzia
o, niwie radhi
natumai utaniwia radhi
je, uliwezahama toka ule mji uliyokupoesha?
sio siri kuwa mi na we
tunapitwa na masaa
(chorus)
helo helo
helo, helo
helo, helo
helo, helo
helo, helo
Random Lyrics
- xgangs - j'maitrise lyrics
- babet - mexico lyrics
- los indios tabajaras - frenesí lyrics
- marion write - i pray lyrics
- reba rambo - what the world needs now is love lyrics
- may wave$ - не надо (not need) lyrics
- san cisco - that boy lyrics
- zerbin - shoulder lyrics
- kula - historia rzk lyrics
- zδde - poundcake freestyle lyrics