![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
don santo - kichaa wa yesu lyrics
intro
stanza one
katika safari ya wokovu
umekuwa nami rafiki
ingawa nimekuwa muovu
haujasita kunistiri
katika safari ya wokovu
umekuwa nami rafiki
ingawa nimekuwa muovu
haujasita kunistiri, bwana!
pre+chorus
aram tapa tapa za maisha hazinistedi
hata mikora ya kidini wapo we know already
mungu ndiye jaji
rabana ndiye pedi
hallelujah!
chorus
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
bwana ni rafiki
tena egemeo
stanza two
na mbona santo nisishukuru kwa ulonipa
familia umenipa, laisha na dahlia
oooh bwana
mbona nisichizi kwa bahati zote
katika safari ya wokovu
umekuwa nami rafiki
ingawa nimekuwa muovu
haujasita kunistiri, bwana!
pre+chorus
aram tapa tapa za maisha hazinistedi
hata mikora ya kidini wapo we know already
mungu ndiye jaji
rabana ndiye pedi
hallelujah!
chorus
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
kichaa wa yesu!
bwana ni rafiki
tena egemeo
Random Lyrics
- lionheart (uk) - car on the hill lyrics
- marc gunn - froggie went a-courtin' lyrics
- 严浩翔 (yan haoxiang) - got it bad lyrics
- stu26 - ok, allright! lyrics
- sasioverlxrd - 声色犬马(sinful confession) lyrics
- vtornik - +250k lyrics
- ilysm - gota luv it lyrics
- kygo & hayla - without you (acoustic) lyrics
- chii guy - oga police lyrics
- post-nuclear - one more time lyrics