azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

e-sir – nimefika (jo) lyrics

Loading...

[intro: e-sir and big pin]
nimefika
jina
e-sir
big pin
pirates
collabo
huu ndio mwanzo, mambo bado

[verse 1: e-sir]
kuna, kuna, kuna, kuna, kuna
kuna kijana mmoja toka south c (jo)
kijana mwenye label kama nike (jo)
mnafaa kumwona akishika mic (jo)
mikono juu ya hewa kama kite (jo)
kama safari hatari na gari (jo)
kama tomma, hatari with the honies (jo)
kama wewe si a sister, kitani (jo)
kama sijakutaja, samahani (jo)
wimbo hujaisha, bado kuna wakati (jo)
kama bado hujajua jina (jo)
nani mwenye rhyme tamu kama tikka? (jo)
nani mwenye kupiga mic tisa? (jo)
nani mwengine isipokuwa issa? (jo)
jesus, nikishika (jo)
mamanzi wanawika (jo)
kwa mic, hata sita (jo)
oh yeah, oh yeah (jo)

[hook 1: e-sir]
kisha niangushe rhymes ki-dirty
ma-emcee, hamna bahati (jo)
e-sir yu hatari, rhymes kali
juu ya mali, halali, haifai (jo)

[verse 2: e-sir]
nimeshika, sitaachilia (jo)
mpaka wakati zenu zitafifia (jo)
nipeni mangiri, sitaki mamia (jo)
sitaki shetani, nipeni malkia (jo)
you, mwanamke kama wewe, mbona waringa? (jo)
mwanamume kama mimi, mbona wamnyima? (jo)
ama ni sababu rap bila issa (jo)
ni kama kiss bila muthoni bwika? (jo)
weka sahani juu ya meza, ogopa (deejays)
cheki vile ma-emcee wanasorora
mimi niweke mic chini? watangoja
kama nikuroga, issa mchawi number moja
lakini ngoja
why do you really wanna punch issa in the (jaw?)
i wanna know, i really wanna know, like (jo)
and then i wanna flow, i wanna flow, like (jo)
gimme my dough, i really want my dough, like (jo)
niodhes? (niodhes?)
niaje? (niaje?)
sasa? (sasa?)
mambo? (mambo?)
cheza na issa, mchezo kando (jo)
huu ndio mwanzo, mambo bado (jo)
ah-ah

[hook 2: e-sir]
kisha niangushe rhymes ki-dirty
ma-emcee, hamna bahati (jo)
e-sir yu hatari, rhymes kali, haifai (jo)

[verse 3: e-sir]
kevin, william, junior, ronny, south c (jo)
marlin, maryam, ishmael, aka (jo)
belinda, sandra, ngare in st. mary’s (jo)
ann, eva, judy in valley road (jo)
abdul, gerald, mwaura in makini (jo)
fbi, homeboys, djs in nairobi (jo)
frère na zaurr, djs in mombasa (jo)
mike, bob, george, chris, phil in five star (jo)
arama na tonya in akiba (jo)
my dolphin roslyn from rusinga (jo)
udha, thurea, hyder from the villas (jo)
mabeshte wote ambao radar wamenyita (jo)
nyi mwaona tu bibi popote mwatulia (jo)
acheni ijulikane pirates wamefika (jo)
hata faez, nakuambia pesa nimepata (jo)
bila shaka, kesho kagomba katanasa (jo)
brayo, jono, tony na saidi (jo)
kenya nzima, alb-m nawaahidi (jo)
rapper of the year kweli aweza kuwa mimi (jo)
decision kama hio nawachia nyinyi (jo)
capital, nation, kiss, kila station (jo)
clubhouse to jks, every section (jo)
this one’s for you to help you cause tension (jo)
every set (jo)
every session (jo)
kama ni pesa, pesa jaribu kupata (jo)
kama mamanzi, mamanzi nimewanasa (jo)
town to town, nairobi to namanga (jo)
coast to coast, kisumu to mombasa

[outro: big pin]
(yawa)
toh chrispin dose donjo koro (yawa)
odonjo gieu werr mi lungwe ni (yawa)
werr ma mit, mit, mit, kabisa (yawa)
think i’m joking? eh, njuru kata issa (yawa)
issa ose chuodho, cloud number tisa (yawa)
koh walk or travel, nyaka to garissa (yawa)
ai yawa, let me pumzika
let me pumzika



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...