edward's okoth bryan (ethan muziki) - mabawa lyrics
[verse 1]
ukiwai jiuliza, sababu zangu kukupenda
kalamu gani haitaisha, kitabu gani sitajaza
nimebarikiwa miujiza, vitu tunaonea si mema
kama ushai jiuliza
wacha nijaribu kuzisema
[bridge]
si urembo tu, ama tabasamu
ni vile unajibeba, vile unajiweka
sijui kaa unajua, vile unaniinua
unanifanya mtu bora
[chorus]
na unanipa mabawa
unanipa mabawa
unafanya nikuwe sawa
mapenzi yako mabawa
ni kila kitu
[verse 2]
ni vile wewe huongea, kwa utaratibu
na tukikosana, tunatafuta jibu
na tena unapenda kuona nikishinda
unanisherekea, nyota zangu un+z+linda
[bridge]
si urembo tu, ama tabasuma
ni vile unajibea, vile unajiweka
sijui kaa unajua, vile unaniinua
unanifanya mtu bora
[chorus]
na unanipa mabawa
unanipa mabawa
unafanya nikuwe sawa
mapenzi yako mabawa
ni kila kitu
we unanipa mabawa
unafanya niwe sawa
mapenzi yako mabawa
ni kila kitu
wawa wawa wawa
mabawa wawawa
wawa wawa wawa
mabawa wawawa
Random Lyrics
- xoly - pillz in my yoohoo lyrics
- nandatsunami - ritmada meditação das ondas sonoras lyrics
- mlodyskowyr - w pierwszym rzędzie lyrics
- luar la l - khee lo khee lyrics
- youngshab - фундамент (snippet 09.12.2025)* lyrics
- drex carter - let me go lyrics
- endsight - the dive lyrics
- lonely playboy - devil callin lyrics
- maeve noiré - that ver. of myself lyrics
- cédric (cze) & ben cristovao - nepozná se sama lyrics