azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

edward's okoth bryan (ethan muziki) - niangalie lyrics

Loading...

aah
aah
aah
aah (mmh, mmh)

[verse 1] [kethan & wanavokali]
kuna wenye vitabu
kuna wenye hesabu
wengine tulibarikiwa sauti na kalamu
ninavyojijua, huwa napenda hadi mwisho
kwa yale machache najivunia
moja ni kukuita w+ngu, ooh+ooh

wengi walifanya nikadhani sitawahi kupenda
ila wewe umenionyesha, ninaweza kupendwa
na wengi wakasema eti sitawahi weza kuweza
ona vile tunaishi hii life bila pressure

[pre+chorus] [wanavokali]
kama unataka, penzi lisiloisha
niangalie, niangalie
mi ninapo+kuona, naona maisha
niangalie, niangalie

[chorus] [kethan & wanavokali]
nia+ nia+, nia+ nia+
niangalie, niangalie
nia+ nia+, nia+ nia+
niangalie, niangalie (niangalie)
[verse 2] [kethan & wanavokali]
we wa thamani kuliko shaba
ningetamani nikuite lover
hakuna jambo linaloweza
kunitеnganisha na penzi lako
unachotaka umekipata
utapokwenda nitakufuata
i will always bе yours
you will always be mine
till the end of time

[bridge] [wanavokali]
na+aah+aah+aah+aah, nakupenda
na+aah+aah+aah+aah, nakupenda

[pre+chorus] [kethan & wanavokali]
kama unataka penzi lisiloisha
niangalie, niangalie
mi ninapo+kuona, naona maisha
niangalie, niangalie

[chorus] [wanavokali]
nia+, nia+ (aah+aah+aah+aah)
ooh niangalie, niangalie
nia+, nia+, ooh (nia+ nia+, aah+aah+aah+aah)
niangalie (aah, nakupenda)



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...