
ephraim sekeleti - uniongoze lyrics
Loading...
uniongoze na huruma zako
usipo nibariki siwezi enda
minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
kwa mkono wako kweli umenibariki, ih, ih
kwa mkkono wako kweli umenibariki (2)
(baraka zako)
baraka zako ziwe na mimi,
mapenzi yako yawe na mimi,
namacho yako yawe na mimi
kwa mukono wako kweli umenibariki, kwa mukono wako kweli umenibariki
ulinichagua kabla sijazaliwa
ukanichagua nabii wa mataifa yo
utaninitangulia siatogopa chochotex2
baraka zako ziwe na mimi,
mapenzi yako yawe na mimi,
namacho yako yawe na mimi
kwa mukono wako kweli umenibariki, kwa mukono wako kweli umenibariki
tembea nami ee bwana
tembea nami baba yoo
Random Lyrics
- beni snassen - bil'in lyrics
- huss und hodn - nixbegriffen lyrics
- amel toge - mama dora lyrics
- aoa - help me lyrics
- marching church - up for days lyrics
- solar/białas - pu55y ni66a lyrics
- johann k. - rostige flügel lyrics
- wild ciraz - anakin (codice fiscale) lyrics
- alex mcquade - lost in color lyrics
- scouting for girls - thank you and goodnight lyrics