eric maingi - ahadi lyrics
viko wapi vile vitu ulisema utavileta
wapi ahadi ulisema utatekeleza
yuko wapi yule mjomba ulisema utanionyesha
na wapi manukato ulisema utatengeneza
umeahidi, ukaahidi
bado hujatekeleza
itanibidi, itanibidi
mimi kukuondokea
jana ulitoka mapema
ukasema kuna jambo limetokea
chai kikaachwa kwenye meza
na gari likafuata bendera
nilipofuatilia
ikakuwa ni umbea
ukalipuka hasira ya kulewa
ukatamka maneno fedheha
na baada yaliyotokea
ukasema unanipenda
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli
ni ahadi ya kufeli
ahadi yako kweli (umeahidi, ukaahidi)
ni ahadi ya kufeli (bado hujatekeleza)
ahadi yako kweli (itanibidi, itanibidi)
ni ahadi ya kufel (mimi kukuondokea)
ahadi yako kweli (umeahidi, ukaahidi)
ni ahadi ya kufeli (bado hujatekeleza)
ahadi yako kweli (itanibidi, itanibidi)
ni ahadi ya kufeli (mimi kukuondokea)
Random Lyrics
- p1x - higher lyrics
- kharmakarma - timeless lyrics
- stellar west - regatta lyrics
- drebeh1 - mal lyrics
- allen j - all i want (feat jay m) lyrics
- good finesse - line him up lyrics
- demajo - aquí lyrics
- snow boyz - fresh sound lyrics
- bahh tee, turken & зомб (zomb) - несчастный случай (accident) lyrics
- darryl sim - see you soon lyrics