
ezzy skillz - mida mibovu lyrics
yeah
mida flani hivi
si tushaizoea
ndiyo mida yetu au sio
mida mibovu nje na wana kibao
hatari wachawi w+nga tunapisha nao
mbishe za boda mida flani wanaokota abiria
kama wakuja unaweza juta unaweza kuta
maana wahuni wanataka nafasi
ukipata pasi basi na pasi
uko na manzi umetoka party
hauna wasi bebe anachat
unakatiza mitaa ya kati
ile kuhamaki upo mtu kati
(mida mibovu ile kuhamaki upo mtu kati)
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
si unajifanya mwamba bisu uko nalo mkononi
eti haujui me nani
me naipanga kali pisi inakushika ugoni unabaki huna kitu tu ndani
utakuja kushtuka
uko na bukta
unajuta
uko kitandani
me mkali wa hizi nukta ukinivuta
ntakushusha
na hawata kutamani
ukijifanya bishoo
utakutana na ngeta
tuna lay low
hizo mambo hatuwezi leta
usijifanye we much know mjini wenyewe tumekuleta
tuna lay low
usije ukahisi umetuteka bro
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
mida mibovu
writted by ezzy sk!llz
2020©
Random Lyrics
- cecilio g & schmölzer beatz - toma tu tema no me rayes lyrics
- zachx - dark&light lyrics
- sei la mia vita - gimmie fiducia / il presidente dell'italia lyrics
- harry and the potters - the great motorcycle crash of ’97 lyrics
- iloveyousatan - reborn lyrics
- the everly brothers - stained glass morning lyrics
- crouchin 40 sippas - prom queen lyrics
- tom vek - guilty pleasure lyrics
- kevin panchaud - nowhere lyrics
- alisan porter - lungs lyrics