![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
flier - sambaratika lyrics
polisi ni wa tajiri
sheria ni ya maskini
ushuru ni ya mafia
uhuru ni ya pr
shahada hizo karatasi
elimu nayo maridadi
kenya hii hakuna kazi
walishapea mashangazi
manabii walitabiri
wengi wakuamini
system ni ya majambazi
sasa tunajuta
shahadah hizo hazitoshi
elimu siku hizi pochi
kenya hii hakuna haki
walishapea mali mali
toa jam, toa jam
mheshimiwa yuko nyuma huyo anacome
wananchi wamefunga njia kama slum
saa ving′ora zinalia kama ambulance
walimeza evidence
mashahidi waka change ma statement
wengine saa ni past tense
familia w+n+lia kuna foul play
katiba hio hawafwati
buda kama huna ganji
kenya hii hakuna haki
walishapea mali mali
oh yea
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
Random Lyrics
- magic de spell - εμένα οι φίλοι μου lyrics
- roger taylor - i'm in love with my car (live from guildford, 2021) lyrics
- tanja savić - ginisov rekord lyrics
- black fate - angry silent scream lyrics
- stezzyxl - tears of the fallen lyrics
- trevor cooke - what i don't know lyrics
- mund de carlo - lumos lyrics
- boulevard depo - прощай lyrics
- lolo zouaï - skin and bones* lyrics
- young 2k - zeit frfr lyrics