jay melody - mikogo sio lyrics
[intro : jay melody]
eeh eeeh aaah aaah oooh ooh
charles clinton
mmh hmmm
[verse 1 : jay melody]
wakati we ukiwa na mimi unajishaua
mashauzi mengi kujishebedua
najiulizaga kwanini unasasambua
mpaka kwa marafiki aibu
[pre chorus : jay melody]
basi niambie wewe kama unataka jina
kwa ajili yako nafanya mwenzako nikose heshima
vipi nikuelewe eeh au bado unapima
maji ya shingo utaniua mama umezidi kina
[chorus : jay melody]
unataka kiki sio? (aah eeh)
iyo mikogo sio (aah eeh)
utakuja kunifelisha mwenzako sama+han
unataka kiki sio? (aah eeh)
iyo mikogo sio (aah eeh)
utakuja kunifelisha mwenzako
[verse 2 : dogo janja]
niliamini unanifaa we ndo mamaa
asaa iweje unapagawa na ustaa
zuku bambataa bolingo charangaa
nilizicheza kwenye giza kwenye taa
ujue mi bila we nafeli (aaah)
ona nakonda kideli (ooh kideli mama)
[verse 3 : jay melody]
na mambo unayofanyaga ndo yanafanya nipagawee
ujue mi najua kwako niko mwenyewe
na k+mbe mazigizaga maporomoko ya mawee
unavonifanyiaga ndo balaa
[pre chorus : jay melody]
basi niambie wewe kama unataka jina
kwa ajili yako nafanya mwenzako nikose heshima
vipi nikuelewe eeh au bado unapima
maji ya shingo utaniua mama umezidi kina
[chorus : jay melody]
unataka kiki sio? (aah eeh)
iyo mikogo sio (aah eeh)
utakuja kunifelisha mwenzako sama+han
unataka kiki sio? (aah eeh)
iyo mikogo sio (aah eeh)
utakuja kunifelisha mwenzako
Random Lyrics
- dairock - sabr lyrics
- chiko black - how it goes lyrics
- g33kpunk - chrome lyrics
- steve lawrence - my home town lyrics
- юлдуз усманова (yulduz usmanova) - azaldan loyimni lyrics
- diplomatico e il collettivo ninco nanco - muri di città lyrics
- hoàng dũng & lelarec - tách lyrics
- betty spaghetty - sunshine in a bag lyrics
- cosmograf - white car (live at the 1865) lyrics
- dato' seri vida - lagu happy lyrics