
jay melody - mtoto lyrics
[intro]
oooooh…
jay once again…
[verse 1]
ilikuwa kula, kusoma, kuchezaa
vingine nlivyo tamani kuvipata vililetwa
nawala sikudhani hizi siku zitafika
sikuwa na mashaka aitae na miaka
[pre+chorus]
now nimekuwaa, nimetambuwa
utuuzima dawa, sio mauwaa
leo natamani nisingekuwa
utuuzima dawa, sio mauwaa…
[chorus]
bora zamani nlivyo kuwa mtoto
aaaah zamani nlivyo kuwa mtoto
bora zamani nlivyo kuwa mtoto
aaaah zamani nlivyo kuwa mtoto
[verse 2]
unaaaaa…
kuwa uyaone, niliambiwa
duniani inamengii sanaaa
usione mtu kainama huu
wasakatokee wanapambania
hapa mgeni lawamaa
tena kuna mda unaumia sana huuu
[bridge]
ilikuwa rahisii huko nyuma
rahisi sanaaa
time hizi nizamu yangu
kupambana hata nikimiss
hakuna jinsi, vile ntafanya
mungu ni bariki riziki yangu
fungua milango
[pre+chorus]
now nimekuwaa, nimetambuwa
utuuzima dawa, sio mauwaa
leo natamani nisingekuwa
utuuzima dawa, sio mauwaa…
[chorus]
bora zamani nlivyo kuwa mtoto
aaaah zamani nlivyo kuwa mtoto
bora zamani nlivyo kuwa mtoto
aaaah zamani nlivyo kuwa mtoto
Random Lyrics
- donna missal - god complex - live lyrics
- 4lt54 - bigbag$ lyrics
- enigma norteño - p1 lyrics
- iszi_eac - freestyle lyrics
- rumania montevideo - 恋するベティー (betty in love) lyrics
- traumadoll - the voices lyrics
- cool sorcery - w-we can talk this through lyrics
- housefires & stephen mcwhirter - victory on the way lyrics
- camille saint-saëns - si vous n'avez rien à me dire lyrics
- sodom - the saw is the law (live in dusseldorf, 1992) lyrics