
jay melody - nazama lyrics
[intro]
mmmh once again
mmmh naitwa once again
onaah nananaaah
[verse 1]
mapenzi ya usiku
sio kama ya mchana
usiku kigiza flani
mchana tunaonana
halafu kipaji anhaa
amempa maulana
ananionesha michezo ambayo sijawahi ona
[pre chorus]
kwisha kabisa
mwenzenu ananimaliza
huu ufundi kapatia wapi
mbona anapitiliza
kwisha kabisa
jamani anamiujiza
penzi kalichomea ubani
utamu tu ananipa
[chorus]
mwenzenu nazama
mi sijui nifanyeje
sijui mimi
sijui nimekuaje
sijui mimi
nimekua kama bwegee
mwenzenu
naenjoy mwenyewe olaah
[verse 2]
hivi kwanini ukiitwa honey
unasikia raha mpaka ndani oh
hadi unatamani uiskie milele maishani
namaanisha sio utani
huu upendo umenipa amani
wengine wanafika mbali
eti mapenzi majani
[pre chorus]
kwisha kabisa
mwenzenu ananimaliza
huu ufundi kapatia wapi
mbona anapitiliza
kwisha kabisa
jamani anamiujiza
penzi kalichomea ubani
utamu tu ananipa
[chorus]
mwenzenu nazama
mi sijui nifanyeje
sijui mimi
sijui nimekuaje
sijui mimi
nimekua kama bwegee
mwenzenu
naenjoy mwenyewe olaah
Random Lyrics
- yung spinach cumshot - sprite+zyn lyrics
- haris alexiou - τίποτα δεν πάει χαμένο - live (tipota den pai hameno) lyrics
- billy hlapeto & dim4ou - други хора (drugi hora) lyrics
- the lomos - bak 2 skool lyrics
- gunn - fortune cookie lyrics
- los palmeras - a bailar - (la barra amiga) lyrics
- james brown - i need your key (to turn me on) lyrics
- meie mees - raha pole rukis lyrics
- ken carson & lil tecca - untitled* lyrics
- zaac - the mind is dangerous lyrics