jerebet - mshindi lyrics
verse 1
nilipokua kwenye njia
nilianguka time and time again
hukuniwacha kwenye shida
ulinishika mkono time again
na umecome through, through
kwa kila kitu
maishani mw+ngu nimekuona mungu
‘kuwa mtrue, true
kwa kila kitu
maishani mw+ngu nimekuona mungu
wema wako na fadhili zako
zimenifunikia
wema wako na fadhili zako
zimenifunikia
chorus
wewe ni mshindi, we, wewe ni mshindi
wewe ni mshindi, we, wewe ni mshindi
wewe adonai, we, wewe adonai
wewe ni mshindi, we, wewe ni mshindi
verse 2
na utatayarisha farasi ya siku ya vita
na wokovu ni wa bwana, adui hawezi
nakuabudu, nakuhеshimu
na silaha za adui ni vyombo vya mungu
i’m so grateful, thankful
for the battles that you fought for mе
i’m so grateful, thankful
for keeping your promises
na umecome through, through
kwa kila kitu
maishani mw+ngu nimekuona mungu
‘kuwa mtrue, true
kwa kila kitu
maishani mw+ngu nimekuona mungu
wema wako na fadhili zako
zimenifunikia
wema wako na fadhili zako
zimenifunikia
chorus
wewe ni mshindi, we, wewe ni mshindi
wewe ni mshindi, we, wewe ni mshindi
wewe adonai, we, wewe adonai
wewe ni mshindi, we, wewe ni mshindi
Random Lyrics
- trinidad buller - me duele lyrics
- astros distantes - minutos perdidos lyrics
- scriptz - stigmata lyrics
- harpers bizarre - lullaby of broadway lyrics
- that mexican ot - misunderstood lyrics
- zotykoff - звезда (star) lyrics
- lobby - collapse lyrics
- vadix, quin3d! - bloodshot lyrics
- disztraktor - betonszar lyrics
- compass (ru) - пепелище (the ashes) lyrics