![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
ksonrap - matumizi ya r na l lyrics
[intro]
ksonrap
jifunze matumizi ya r na l
you know what i’m sayin’
[verse: 1]
inanipa sana kero../
kiuwezo wadogo ka janjaro../
unashindwa kutamka !ata tomorow morogoro kilimanjaro../
utasema mdomoni una ugoro au mc wa vigoro../
hawajui tofauti ya mtalo na mtaro..habali na habari../
hatali na hatari..safali na safari..ntawapeleka tena jando kuwatahiri../ darasani tena kuwafundisha kiswahili..mswahili nomino nahau mstatili../
mtakosa hata madili kwakukosa maadili natabiri../
makafiri..njiani mtakosa usafiri mnashidwa kujistiri../
kwenye macho nawapaka pilipili../
hamuwezi kurap mkasuke tu ukili../
mnashidwa kuzitunza hata siri../
mnajiona wasanii kwakuvaa tu vipuli../
ngoma mbili mnajikuta ndo magwiji nnataka kushindana na manguli../
kama shivji au vitali napigana vita nivikali../
mauwaji ya kimbari../kaza buti tusonge kiaskari../
peku peku utakanyaga misumari/kwanza jikubali..tafakari../
piga duwa kila hatua kwanza sali../
mungu ndo amenipa hiki kibali../
navyopenda ushairi zaidi mchaga na mtori../
mi ndio simba kwenye pori../
usilate usela wakuwasha kitu shali../utafeli
ukitaka kwenda ulaya usizamie kwenye meli../
f
Random Lyrics
- selim the kid - ferrari fantoma lyrics
- mc androidão - cai de boca o funk do milênio lyrics
- snails.jm - distância lyrics
- brunella torpoco - mix guarachas 2 lyrics
- lanco - sound of a saturday night lyrics
- kiltro - crazy (in the absence) lyrics
- elena roger - piano man lyrics
- prtcle - my melody! ⋆˙⊹♥ lyrics
- french montana, kodak black & london on da track - i can't lie (slowed down) lyrics
- fiorello mannaia - circolino hc boys anthem lyrics