ksonrap - sitabiriki lyrics
it’s a boy ksonrap
right here
you know what i’m sayin’
it’s going down
yeah
listen
what goes around… comes around
utavuna ulichokipanda
[verse 1: ksonrap]
nimebobea kwenye beat kama rap scala
bongo nai to kampala;
natisha nipo very deep kama ziwa chala;
ngumu ku impress hii medula hii mistari hela n+z+gawa kama bank taller;
siitaji wakunimanage sio tale wa fela;
king of best melody kama bella;
naichimbua rap archeology sina peace na mawaki nimewatupa jela;
zingatia itifaki uhuru ni wa bendera waliosema watadumu wapo hoi kwenye machela;
n+z+di kuyatupa makombora;
africa mashariki mkokenya mkombola;
kada kwenye chama zaidi ya palla natawala;
hizi level hawafiki wafupi kama mwala;
hili chimbo hasmati ameyatimba rockarfella;
leo umenikuta kwеnye ubora kwenye chati kama dollar
thrillеr in manila;
pisha kwenye barabara nimejaza vina kama abiria kwenye daladala za mbagala;
hauna stamina kiuwezo wao bado nikabwela;
dula makabila nawacontrol kama drug dealer;
mi silent k!ller sio mikwara wasaliti nawatoa tu kafara;
mwendokasi ruti ndefu kama mbezi ya kimara;
a luta continua nilipotoka ni majanga na misala;
[chorus: afrokidayo]
sitabiriki ,sishikiki ,sipimiki yee!
sitabiriki ,sishikiki ,sipimikiii yeee!
kwenye mvua na juaaa
kote nimepita nanani anajua?
eeee! eeeee..
Random Lyrics
- kuzamii - whatchu mean? lyrics
- the dudes usa - suck my dick lyrics
- hainan - polizei lyrics
- k-kuma the saiyan - jokes on me lyrics
- selfmxdebless - noplsnoooo lyrics
- matteo celano - poi tu lyrics
- haxiro - huecos lyrics
- titokmf - triple threat lyrics
- sun eater (france) - nameless cults lyrics
- zara larsson - can't tame her lyrics