kusah - huyu hapa lyrics
[verse 1]
mara paap paap
penzi limekwisha nimebaki peke yangu
ooh nitalia kwa nguvu, garagara na kuzimia
thanibeba inzobe mzobe, kilio ka mtoto mapenzi
na kikizinduka (juu juu)
naenda kukuroga nakuekea (juu juu)
nalichanganya na kukoroga
kama kukupenda (nakupenda)
na kama nikuzama (nimezama)
[chorus]
yule mpenzi (huyu hapaa)
je t’aime baby (huyu hapaa)
motema na ngai (huyu hapaa)
rukunfo wanje (huyu hapaa)
yule mpenzi (huyu hapaa)
je t’aime baby (huyu hapaa)
motema na ngai (huyu hapaa)
rukunfo wanje (huyu hapaa)
[verse 2]
k+mbe kuna mambo sijaona
na utuuzima w+ngu
napigishwa deki, nalambishwa, napanda mlima
kwako bwege hii mechi nimezidiwa
ukizidisha, naanguka, n+z+mia naa
[pre chorus]
na nikiziduka (juu juu)
naenda kukuroga nakuekea (juu juu)
nalichanganya na kukoroga
kama kukupenda (nakupenda)
na kama nikuzama (nimezama)
[chorus]
yule mpenzi (huyu hapaa)
je t’aimе baby (huyu hapaa)
motema na ngai (huyu hapaa)
rukunfo wanje (huyu hapaa)
yule mpеnzi (huyu hapaa)
je t’aime baby (huyu hapaa)
motema na ngai (huyu hapaa)
rukunfo wanje (huyu hapaa)
Random Lyrics
- aeter - bodies bodies bodies theres way too many bodies lyrics
- viceroy iv - the greenlight lyrics
- thekidsteph - od lyrics
- esham - suspended animation lyrics
- cas cleo - born on a wednesday lyrics
- trisha yearwood - it's just another new year's eve lyrics
- blazin'daniel - totes herz lyrics
- noor jehan - ae watan ke sajeele jawano lyrics
- root canal years - you fucking suck lyrics
- noor jehan & surendra - awaz de kahan hai lyrics