azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lady jay dee - yahaya lyrics

Loading...

(instrumentals)

[chorus]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)

[verse 1]
huyu kijana mwenzetu kila siku tupo nae maskani
anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani
tumetafuta, tumeuliza, ‘hakuna ajuaye
anavyo zuga, anavyo pita, si umdhaniaye
na hafanani kabisa na fix anazofanya
akidanganya kwa kina, unaingia kingi, unafata
k+mbe hana hela
(longolongo nyingi)
[chorus]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)

[verse 2]
kwa stori za vilingeni
utafikiri kweli yeye ndio bosi
suruali zake na mashati
anasema anafanya kazi benki
mara anasema usalama wa taifa
hakuna ajuaye
[kalubandika] wa kizazi kipya
usomdhaniaye
[hook]
na hafanani kabisa na fix anazofanya
akidanganya kwa kina, unaingia kingi, unafata
k+mbe hana hela
(oh, yahaya)

[post+chorus]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)

(instrumentals)
[hook 2]
mara anasema usalama wa taifa
hakuna ajuaye
[kalubandika] wa kizazi kipya
usomdhaniaye

[hook 3]
na hafanani kabisa na fix anazofanya
akidanganya kwa kina, unaingia kingi, unafata
k+mbe hana hela

[outro]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, еh
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...