![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
laura karwirwa - natamani nikuone lyrics
Loading...
eeeeh lala.lala.lala
uuu baba…
mmmhh… (still alive)
mengi nimeshasikia, uliyoyatenda mengi hata nami pia, naweza shuhudia,
katika siku zangu za giza (wewe umenituliza)
nimepenya kwenye giza (umenimulikia njia)
nikusujudie, nikuinamie, niseme nawe,
niushike mkono wako ewe oh, nitembee nawe
natamani nikuone heeey, ndio tamaa ya moyo w-ngu, na nafsi yangu
(umekuwa mwema)
nitakuwa nimetayarisha sadaka nikupe, na sauti
nimenyorosha na malaika niimbe, sadaka za sifaaa he he,
naomba pokeaaaaa, sauti napaza napazaaaaaaa, naomba
sikiaaaaa
natambua mimi dhaifu, kama musa navua viatu vyangu,
nikaribie utakatifu wakoooo, nimeoshwa na hiyo damu
(umekuwa mwema8)
Random Lyrics
- jamie mcdell - moon shines red lyrics
- velet - hara lo lyrics
- sat-b - feel love lyrics
- baturalp - dumanından bulutlar lyrics
- weather report - the pursuit of the woman with the feathered hat lyrics
- nikko beason - how lyrics
- neiser lovel - uwu lyrics
- stereolab - reich song lyrics
- teddy - drop the top lyrics
- ramy ayach - yala norqos lyrics