azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lil wizz x - nnabore lyrics

Loading...

[intro]
mmh mh mmh…

[chorus]
mbona tena sina thamani
hutompata mwema kama mimi
ko swaga zangu tena hutamani
inaonakana naku+bore
kila time mi n’na+bore
mi n’na+bore, mi n’na+bore
kila time we unaondoka
we ondoka, haina noma
sina time, sina wasi
sina swaga we una+go
am not your type mi ni mshambaa

[verse 01]

nak+mbuka ulifurahi ukiwa na mimi
yeah, i want you even more
na s’ku hizi sili no
nakuwaza baby girl, (ooh, ooh, ooh+ooh)
i gave you lemonade
na nguo za givenchy
i made you a london queen (ooh, ooh, ooh+ooh)
[chorus]
mbona tena sina thamani
hutompata mwema kama mimi
ko swaga zangu tena hutamani
inaonakana naku+bore
kila time mi n’na+bore
mi n’na+bore, mi n’na+bore
kila time we unaondoka
we ondoka, haina noma
sina time, sina wasi
sina swaga we una+go
am not your type mi ni mshambaa

[verse 02]
yeah, now unang’aa
baby unang’aa
unapaka mascara baby unanang’aa
kwenye chanel baby unang’aa
you on fashion
i bought you chiron, babe
i bought you garage
i bought you a mansion
ice, water, bling
gucci, prada, chanel
‘venchy, fendi, celiné
hermès, birkin, addidas (ooh, ooh, ooh+ooh)
[chorus]
mbona tena sina thamani (sina thamani)
hutompata mwema kama mimi (kama mimi)
ko swaga zangu tena hutamani
inaonakana naku+bore
kila time mi n’na+bore
mi n’na+bore, mi n’na+bore
kila time we unaondoka
we ondoka, haina noma
sina time, sina wasi (sina wasi)
sina swaga we una+go (yeah, yeah, yeah, yeah+eah)
am not your type mi ni mshambaa (mi ni mshamba)



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...