azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lizone ntio - sawa lyrics

Loading...

vyote ulivyoposti nili like nakukomenti, j+po moyo uliumia, moyo w+ngu uliumia
nikajikokota niketi masikini wakuchiti, huku bujibuji najivujia, machozi najivujia
huku ndani ndani moyo unalia
zile k+mbuk+mbu nawe, zikawa zanisuta nijiue
kweli haunijali wewe, unampenda mwengine nijishaue aah nijishaue
mara nikak+mbuka ndoto, tulikua na ndoto
minawe tupate watoto, wakwanza awe cynto
nikak+mbuka ndoto, tulikua na ndoto
mi nawe tupate watoto, wakwanza ndio cynto
j+po haitatimia
ni sawa (hata nisipopona)
ni sawa (aah moyo w+ngu)
ni sawa (hata uliumia)
ooh ni sawa (hata usipopenda)
ni sawa (moyo w+ngu)
ni sawa (aah jamani)
ni sawa (hata usipopona)
ni sawa
maumivu ya moyo w+ngu, sawa kuchomwa kisu cha moto
nikiitazama simu yangu, umempost caption wandoto
mwenzako bado najitazama, kisha namtazama, najiuliza nakosa nini, mpaka wewe hunithamini
ama kwake ndio salama, kw+ngu hakuna cha mana, hata kitanda changu chini, ndio mana hunithamini
mara nikak+mbuka ndoto, tulikua na ndoto, mi nawe tupate watoto, wakwanza awe cynto
nikak+mbuka ndoto, tulikua na ndoto, mi nawe tupate watoto, wakwanza awe cynto
j+po ndoto haitatimia
ni sawa(hata nisipopona)
ni sawa (aah moyo w+ngu)
ni sawa (j+po umeuvunja moyo w+ngu)
ni sawa (sidhani tena nitapenda)
ni sawa (maumivu ya moyo w+ngu)
ooh ni sawa (oooh)
ni sawa
aah ni sawa
(vyote ulivyoposti nili like nakukomenti, j+po moyo uliumia, moyo w+ngu uliumia)
thunder music open world



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...