
luqman atigh - mama lyrics
nani kama mama?
katika hii dunia
kwa mapenzi na huruma
mfano hajatokea
nani kama mama?
katika hii dunia
kwa mapenzi na huruma
mfano hajatokea
mama
mama
kipenzi cha moyo w+ngu
faraja ya moyo w+ngu
kipenzi cha roho yangu
amenikirimu mungu
ni mama
ni mama
ni mama
ni mama
ufunguo wa maisha yangu
na dhamana ya pepo yangu
ni mama
faraja ya moyo w+ngu
kipenzi cha roho yangu
amenikirimu mungu
ni mama
hata ukiwa na dhiki
mama yako hakutupi
kukucheka hadiriki
ni mama
hata ukiwa na dhiki
mama yako hakutupi
kukucheka hadiriki
ni mama
haijalishi ntavokuwa
mama utanipokea
mzuri au mbaya
wewe hutonibagua
haijalishi ntavokuwa
mama utanipokea
mzuri au mbaya
wewe hutonibagua
chuo changu cha kwanza
ni wewe w+ngu mama
maadili umenifunza
ili niwe mtu mwema
maadili umenifunza
ili niwe mtu mwema
rabbi umrehemu daima mama yangu
kila lake gumu
mfariji mola w+ngu
mama yangu umrehemu
nakuomba mola w+ngu
Random Lyrics
- dante moris - come over lyrics
- another nguyen - my friend lyrics
- freaky deeky - otherside lyrics
- low steppa - heard it all before lyrics
- deejay telio - desconfinamento lyrics
- 57th street rogue dog villians - anthem lyrics
- barikad crew bc - virus lyrics
- yaeow - wish i was better lyrics
- apocalipse 16 - um mundo bem melhor lyrics
- nct dream - 오르골 (life is still going on) lyrics