manasseh shalom - njoo lyrics
mmh
[verse 1]
njoo nikuibie siri
iko jamaa anakupenda mana
tangu hizo enzi za nyayo
moyo w+ngu umebaki wako
walami wanasema ‘one of a kind‘
ukambani we ni ‘mundu wakwa‘
hata twende wapi
utabaki kuwa tunda la macho
[bridge]
nak+mbuka maneno ya mama
aliponiambia bibi mzuri
baraka ya mola
moyoni mw+ngu nahisi kutabasamu
uwe w+ngu
basi baby…
[chorus]
njoo njoo njoo
nikupeleke kwa wazazi
njoo njoo njoo
uwe w+ngu milele
njoo njoo njoo
nikupeleke kwa wazazi (kwa wazazi)
njoo njoo njoo
uwe w+ngu
[verse 2]
mwanzo haukuwa mzuri
ingawa sasa nimekubali
wito wa mola
nitakupenda invyofaa
kuna ambao watasengenya
lakini love tusikate tamaa
siku zijazo
nyumba yetu itajawa furaha
[bridge]
nak+mbuka maneno ya mama
aliponiambia bibi mzuri
baraka ya mola
moyoni mw+ngu nahisi kutabasamu
uwe w+ngu (uwe w+ngu)
kipusa…
[chorus]
njoo njoo njoo
nikupeleke kwa wazazi (kwa wazazi)
njoo (njoo) njoo njoo
uwe w+ngu milele
njoo njoo njoo
nikupeleke kwa wazazi (kwa wazazi)
njoo njoo njoo
uwe w+ngu
baby
uwe w+ngu milеle
uwe w+ngu baby
uwe w+ngu kipusa
ni wеwe nachagua
[outro]
njoo njoo njoo
nikupeleke kwa wazazi
njoo njoo njoo
uwe w+ngu milele
njoo njoo
nikupeleke kwa wazazi
njoo njoo
uwe w+ngu
Random Lyrics
- myzzy - hey lyrics
- lord apex - words from paulo lyrics
- rauw alejandro - rauleeto (skit) lyrics
- headstones - tangled lyrics
- lanzzinx,vt acerolla - choque⚡ lyrics
- darren isaiah - three sword style lyrics
- efterblivna lyrics lyrics
- lee bezel - won’t work lyrics
- fijimar - hounds lyrics
- nishith - everything i did lyrics