
marion shiko - ahadi zake lyrics
nafsi yangu usichoke, roho yangu msifu bwana
alihadi atatenda, mtumanie bwana
ahadi zake ni za milele, akiahidi atatenda
roho yangu nafsi yangu, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
mawazo yake sio yetu, njia zake si kama zetu
mbingu zilivyo juu ya nchi, mawazo yake ni makuu
ataagiza fadhili zake, wimbo wake kw+ngu usiku
sifadhaike usiiname, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
Random Lyrics
- peach baby - exclusive lyrics
- mr. polska - bus lyrics
- kenpachi - parasyte lyrics
- antwan eilish - dressed in mistakes lyrics
- jordany - te duele lyrics
- don ellis - higher lyrics
- astora - inferno lyrics
- gobs x jimilian - du & jeg lyrics
- rmc mike & rio da yung og - mannn stop lyrics
- samuel e. wright - under the sea (remastered 2014) lyrics