
marioo - siwezi lyrics
i know that you deserve some more
anything that you are baby you should let me know
you know that ukinitenda utaniumiza roho
maana si unajua we ndo kipenda roho
kuwe kuna mvua jua we baki hapa kando yangu
iwe shibe njaa basi nile nawe kama kuna huzuni karaha
we ndo faraja yangu siku za furaha naenjoy nawe
why why why nikulize why why why nikulize
why why why nikulize why why why nikulize
siwezi kukuacha wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe
siwazi kuachana wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe
umenifanya niwaze ningewezaje dunia bila uwepo wako aah
umenifanya nijiulize je ningeenjoy hii dunia nisingekuwa wako
you’re the one i havе bbeen waiting for asali yaa moyo w+ngu
faraja yangu iliyomo ndani yangu kwenye ini yako
why why why nikulize why why why nikulizе
why why why nikulize why why why nikulize
siwezi kukuacha wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe
siwazi kuachana wala kukuliza mpenzi mpaka nizikwe
Random Lyrics
- june pointer - to you, my love lyrics
- babsztyl - szykuj się bracie lyrics
- dreams & empires - the mocking tides lyrics
- peja - renee freestyle lyrics
- juicypear - island lyrics
- panic priest - velvet cage lyrics
- faerie - champagne tears lyrics
- maliq ibrahim - balaka lyrics
- eminemextras - kill me already lyrics
- graffik - up in the clouds lyrics