marioo - unanionea lyrics
its bonga…
(verse 1:)
mmmmh
hivi kweli yupo mwenye roho mbaya kukushinda
maana me sijaona duniani
hivi kweli yupo aso na haya kukushinda
maana mie sijaona… sijaona…
we mtu gani uko radhi mwenzako ateketee
wakati unajua dawa yake k+mponya nihurumie
ama mtu gani aliefika akaongeza makeke
na wakati anajua me kwako ndo napona anihurumie
me najua mapenzi sio kwichikwichi tu
yanayonogaga mazoea nimekuzoea
mmmh mmmh!
(chorus:)
unanionea mwenzako siwezi matukio mazito
unanionea,unayonipiga mieeeeh!
unanionea.unafanya niamini mapenzi mabaya
unanionea.lolooooo mmmmh!
(instruments:)
(verse 2:)
na kama kuachana nimekubali sawa fanya yako
ila sio lazima unioneshe uniumizeee!
au kisa unajua unaniacha bado nakuhitaji
ndo unaona bora unikomeshe unilizeeeh!
aaah poapoa nishajua vya utamu vinakuaga vya uchungu
ili doadoa milima haikutani
j+po najuaa mapenzi sio kwichikwichi tu
yanayonogaga mazoea nimеkuzoea
mmmh mmmh!
(chorus:)
unanionea mwenzako siwеzi matukio mazito
unanionea.unayonipiga miee eeeh
unanionea.unafanya niamini mapenzi mabaya
unanionea.lolooo unanionea!
unanionea bure eeeh!
lolooo!
hata bonga anajua unanionea
chino anajua unanionea!
Random Lyrics
- death cab for cutie - waterfalls lyrics
- mehdi cee and reckonize real - 4:45 (keep it moving) lyrics
- ghostkid (rap) - or what lyrics
- ostan stars - uyarnthavarae unntharae - benny joshua lyrics
- blxst - pressure lyrics
- nick wiz - we got it hemmed (original version) lyrics
- noahapproved - edge 2 edge lyrics
- chewing on tinfoil - exchequer religion lyrics
- russell dickerson - southern symphony lyrics
- maj karma - homma lyrics