![azlyrics.biz](https://azlyrics.biz/assets/logo.png)
maua sama - mr. dj lyrics
[intro]
samaaaaa!
[verse 1]
ulivyoniacha ulijua nitakufa
ulivyoniacha ulijua nitaded
ona mungu kanipigania mi nanenepa
ona baba yeye kanipigania
[pre chorus]
sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
makasiriko ya nini
we si uliniacha jamani
una wako nyumbani
[chorus]
mr dj weka wimbo
nataka ex anione nimenunua iphone
mr dj weka wimbo
nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani
ebu toka hapa mwenzio nishajipata
nishajipata mwenzio nishajipata
[verse 2]
mapenzi kudadadek
mtu unampa moyo vyote kapiga deki
toka hapa baba hunipati
j+po ata mia sina ila haunishiki
[pre chorus]
sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
makasiriko ya nini
we si uliniacha jamani
una wako nyumbani
[chorus]
mr dj weka wimbo
nataka ex anione nimenunua iphone
mr dj weka wimbo
nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani
Random Lyrics
- nubi - نوبي - nuba el loon - نوبا اللَّون lyrics
- asx - prtp lyrics
- r4haby444 - упаду (i'il fall) lyrics
- kelleigh bannen - nothin on lyrics
- fameye - control lyrics
- od kokemus - mä en oo völjys lyrics
- steady & nito - la calle me llama lyrics
- davìdd - up lyrics
- new you (jpn) - アンチチョコレート (anchichocolate) lyrics
- gotti blu - psa opps doing bad lyrics