
maua sama - namwachia lyrics
[verse 1]
yangu furaha, imegeuka majuto
kicheko kimegeuka kilio
ila ninaamini wema hauozi umenipa mazito, me naumia hey
nilijua utanifuta machozi umenipa majonzi, me nalia
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w+ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni
[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)
[verse 2]
nilikupa muda na vyote vilivyo vyangu
ila malipo ya yote kunitukanisha na ndugu zangu
kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi
nimelijua sawa
moyo w+ngu umeuchakaza
umehondomola mpaka gunzi
wema umenilipa ubaya
sitoshindwa hata tukionana
kuachana sio uhasama
sintothubutu kuzozana nimekunawa
nakuombea kheri salama
umpate yule mtakae wezana
k+mbuka kugunga zipu bwana msije kwazana
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w+ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni
[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)
Random Lyrics
- мы (we) - исчезаем (we disappear) lyrics
- fandy teaming - girl talk lyrics
- lidoryc - spleen lyrics
- mumford & sons - harvest lyrics
- los prisioneros - la gran oportunidad (demo) lyrics
- eem triplin - duya lyrics
- julianna riolino - sacred heart lyrics
- the yuinon - food for thought lyrics
- vincent cheung ministry - miracles to share lyrics
- entine - бриллиант (diamond) lyrics