azlyrics.biz
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

maua sama - poa lyrics

Loading...

[verse 1 : nandy]
eti nilie mara ni nune kisa kuachwa
mnao subiri nitoe machozi si tuko hapa
unampenda mtu hakupendi kuvuja kwa pakacha
sipangiwi ratiba na mtu mapenzi takataka

[pre chorus : nandy]
saa hivi bila beat nakwenda hata acapella
eti nisile tonge kuna jitu linanikera
story za mapenzi sitaki nataka za hela
ndo maana hata vanessa aliimbaga tu kisela
oh yeah

[chorus]
poa tu (eh) mi niko poa tu (eh)
mwenzenu poa tu
yaani unipepende usinipende mi niko poa tu (eh)
mi niko poa tu (eh)
mwenzenu poa tu (eh)
poa tu, poa tu
poa tu, mwenzenu poa tu

[verse 2 : maua sama]
kuchii kuchii ho tae (hotae)
ninachojua sitozikwa nae
hizo sweety sijui bae (ebae)
kazipeleke mumbai (mumbai)
[pre chorus : maua sama]
saa hivi bila beat nakwenda hata acapella
eti nisile tonge kuna jitu linanikera
story za mapenzi sitaki nataka za hela
ndo maana hata vanessa aliimbaga tu kisela
oh yeah

[chorus]
poa tu (eh) mi niko poa tu (eh)
mwenzenu poa tu
yaani unipepende usinipende mi niko poa tu (eh)
mi niko poa tu (eh)
mwenzenu poa tu (eh)
poa tu, poa tu
poa tu, mwenzenu poa tu

[outro]
eh, eh
yaani unipepende usinipende mi niko
eh, eh



Random Lyrics

HOT LYRICS

Loading...