
maua sama - vimba lyrics
[verse 1]
usiku hulali unaumia tena unawaza
kukicha maswali na stress umejaza
inaniumiza kukuona unaumia wewe baba
najua unanipenda
ila unawaza labda nitakimbia
kisa mimi ni star ndo unahofia labda nitakimbia
[pre chorus]
nimeridhika mimi (aaah aaah)
na hali yako hiyo (aaah aaah)
nataka uvimbe baby (aaah aaah)
mi ni wako pekee (aaah aaah)
[chorus]
vimba vimba vimba (kama unanipenda)
vimba vimba vimba (amini unapendwa)
vimba vimba vimba (watu waoneshe)
vimba vimba vimba uuuuhhh
[verse 2]
tambua kipaji kanipa maulana ni karama
unaponyong’onyea unaniumiza sana ooh bwana
tena unatetemeka (tetee)
ukiniona unasita, kijasho kinakutoka (mmmh)
wanipa raha, si masikhara, dhahiri nasema
twende kwa baba mzee sama
tumalize biashara
najua unanipenda
ila unawaza labda nitakimbia
kisa mimi ni star
ndo unahofia labda nitakimbia (yeeea yeiyaaeh)
[pre chorus]
nimeridhika mimi (aaah aaaah)
na hali yako hiyo (aaah aaaah)
nataka uvimbe baby (aaah aaaah)
mi ni wako pekee (aaah aaaah)
[chorus]
vimba vimba vimba (kama unanipenda)
vimba vimba vimba (amini unapendwa)
vimba vimba vimba (watu waoneshe)
vimba vimba vimba
Random Lyrics
- dj anemia, crier & sixnite - empty funk lyrics
- lifeless - isekai me already lyrics
- agalyti - не вернусь в music lyrics
- bee! the band - flow of traffic lyrics
- idealina - царица (queen) lyrics
- dropped here & steppi - benzin lyrics
- foolio - certified killa lyrics
- adele - rumour has it (live in las vegas) lyrics
- кино (kino) - группа крови (partizan remake) (blood type) lyrics
- connie francis - nixon's the one lyrics