
mbosso - kunguru lyrics
[intro]
huyo, huyo
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
huyo, huyo
[verse 1]
nilikuwa na mpenzi, mpenzi, mpenzi, mpenzi, mpenzi
nikasema k+muacha siwezi, siwezi, siwezi, siwezi
akanifanyia ushenzi, ushenzi, ushenzi, ushenzi, ushenzi
nikayachukia mapenzi, mapenzi
[pre+chorus]
leo kaanza kuniita bebe (ananiita bebe)
hivi ananiona mi bwege (ananiona bwege)
anajilegeza lege
anataka tena mshedede
[chorus]
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
[hook]
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
[chorus]
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
[verse 2]
ndio basi (ndio basi tena)
haunipati (haunipati tena)
oh, ndio basi (ndio basi tena)
haunipati (haunipati tena)
[bridge]
nauko+kome, kujitumisha meseji
nauko+kome, kuniita ita baby
nauko+kome, kujitumisha meseji
aii ko+kome, kuniita ita baby
[pre+chorus]
oya kaanza kuniita bebe (ananiita bebe)
hivi ananiona mi bwege (ananiona bwege)
anajilegeza lege
anataka tena mshedede
[chorus]
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
[hook]
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
wanini, wanini, wanini mimi wanini
[chorus]
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
f+kuza kunguru, kunguru
kunguru, kunguru
Random Lyrics
- kaylee hazei - into you lyrics
- help yourself - cowboy song lyrics
- jeremi9355 - нокаунтъ v2(knockout) lyrics
- joni75 - ryd lyrics
- i61 - шиза (shiza) lyrics
- lil' polo jr - nightmares in the trenches lyrics
- subaiel - the end of it all lyrics
- kvng moses - f.w.u. lyrics
- issey.mp3 - smart lyrics
- wassupmu - ponto lyrics