
mimi mars - pole lyrics
[verse 1 : nandy]
hivi ushasikia
mtu anaogeshwa na mdalasini
maana sio jina, anataja mpaka ubini
tena akiumwa huwaga hataki quinine
anachokitaka kuniona mimi
tena mkaka kw+ngu ndo kafall, ooh
yaani mazima, aah
kw+ngu hana shaka
kwako atakuja tomorrow
yaani kazima, aah
[pre+chorus : nandy]
nikuambie tu
mi ndo wakwanza
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
nikuambie tu
mi ndo wakwanza
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
[chorus : nandy]
nasema pole
wacha nikupe pole
mwenzangu pole
wacha nikupe pole
[verse 2 : mimi mars]
utanifanya nini kwanza kwa mfano?
we utajuaje tuko watano?
hata kw+ngu mimi, yaliyomo yamo
(ooh, yaliyomo yamo)
nampa vya pwani, vya kizaramo
tena usijaribu mashindano
huniwezi hata kimuonekano
(caah, muonekano)
[bridge: mimi mars]
sina noma, sina noma
nachotaka kukuambia sisi tushapendana
sina noma, sina noma, yeah
nachotaka kukuambia sisi tushapendana
[pre+chorus : mimi mars]
nikuambie tu
nishajipanga
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
nikuambie tu
nishajipanga
kama ukitaka kukiwasha, tunakiwasha
[chorus : mimi mars]
nasema pole
wacha nikupe pole
mwenzangu pole
wacha nikupe pole
Random Lyrics
- kaylee hazei - masc lyrics
- go hang music - unclle dave lyrics
- itsrucka - germania lyrics
- the devil makes three - half as high lyrics
- aぇ! group - aぇ you ready? lyrics
- os novos goianos - goianidade lyrics
- lis avancini - janelas da alma lyrics
- [alexandros] - stimulator (:d) lyrics
- carl smith - life turned her that way lyrics
- fridayy - that vibe lyrics