msomali - sawa lyrics
ahh natamba sana
nick wizzo
hivi niambie, kipi nimefanya
ukaniacha mie, uhuu
hivi niambie, kipi nimefanya
ukaniacha mie, uhuu
labda niiname tuu nifute machozi
limenishuka, shuu, uhuu
labda niiname tuu nifute machozi
limenishuka, shuu, uhuu
hivi ni nani alioyaleta duniani
mbona ni mimi yananielemea
hivi ni nani alioyaleta duniani
mbona ni mimi inanitokeaa
oohh
sawa, sawaaa, sawaaaaaaa
sawaaaah, sawa
sawaaaaa, sawaaaa àaaah
sawaaaaaaa
kinachonitesa nak+mbuka michezo wa kambale
we unavyoinama unabiduka unaminyia kwa kule
kinachonitesa nak+mbuka michezo wa kambale
we unavyoinama unabiduka unaminyia kwa kule
mazuri mema yote nilio kufanyia
haukunizingatia kisa uwezo w+ngu mia
mazuri mema yote nilio kufanyia
haukunizingatia kisa uwezo w+ngu mia
labda ni jini nimetupiwa
napendwa leo, kesho nachukiwa
napiga goti nayakemea mimii
sio mkorofii na nick anajuaa
hivi ni nani alioyaleta duniani
mbona ni mimi yananielеmea
hivi ni nani alioyaleta duniani
mbona ni mimi inanitokeaa
oohh
sawa, sawaaa, sawaaaaaaa
sawaaaah, sawa
sawaaaaa, sawaaaa àaaah
sawaaaaaaa
labda nikufе ndio uje kunizika
kw+ngu kipupwe jua lake masika
hakuna baya refu lisilo na nchaa
we sio malaya coz vega haujafika
hivi ni nani alioyaleta duniani
mbona ni mimi yananielemea
hivi ni nani alioyaleta duniani
mbona ni mimi inanitokeaa
oohh
nick wizzo
Random Lyrics
- april boy regino - i'll never fall in love again lyrics
- selwyn and john - bogey man lyrics
- matts_dreams - till i get to you lyrics
- dmtboy & dekma - so swag lyrics
- julklaus - часов яр lyrics
- lucinda barry - master of the game lyrics
- within the ruins - castle in the sky lyrics
- bengg - catwalk boyfriend lyrics
- komba & ri - viento en popa lyrics
- chimerix - how i feel lyrics